Exodus 32:1

Ndama Wa Dhahabu

(Kumbukumbu 9:6-29)

1 aWatu walipoona kuwa Musa amekawia sana kushuka kutoka mlimani, walimkusanyikia Haruni na kumwambia, “Njoo, tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa maana huyu jamaa yetu Musa aliyetupandisha kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.”

Copyright information for SwhKC