a
Isa 61:1-2
;
Mik 4:6
;
Sef 3:19
;
Yer 31:8
;
Lk 5:32
;
Mt 2:17
;
15:24
Ezekiel 34:16
16
a
Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.
Copyright information for
SwhKC