Isaiah 40:6-8


6 aSauti husema, “Piga kelele.”
Nami nikasema, “Nipige kelele gani?”

“Wanadamu wote ni kama majani,
nao utukufu wao wote
ni kama maua ya kondeni.

7 bMajani hunyauka na maua huanguka,
kwa sababu pumzi ya Bwana huyapuliza.
Hakika wanadamu ni majani.

8 cMajani hunyauka na maua huanguka,
lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

Copyright information for SwhKC