Proverbs 7:6-11


6 Kwenye dirisha la nyumba yangu
nilitazama nje kupitia upenyo
kwenye mwimo wa dirisha.

7 aNiliona miongoni mwa wajinga,
nikagundua miongoni mwa wanaume vijana,
kijana asiye na akili.

8 Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake,
akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke

9 bwakati wa machweo, jua likipungua nuru yake,
giza la usiku lilipokuwa likiingia.


10 cNdipo huyo mwanamke akatoka kumlaki,
hali amevaa kama kahaba akiwa na nia ya udanganyifu.

11 d(Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi,
miguu yake haitulii nyumbani;
Copyright information for SwhKC