Psalms 128:1-2

Thawabu Ya Kumtii Bwana

(Wimbo Wa Kwenda Juu)


1 aHeri ni wale wote wamchao Bwana,
waendao katika njia zake.

2 bUtakula matunda ya kazi yako;
baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
Copyright information for SwhKC