Psalms 20:3-5


3 aNa azikumbuke dhabihu zako zote,
na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

4 bNa akujalie haja ya moyo wako,
na aifanikishe mipango yako yote.

5 cTutashangilia kwa furaha utakaposhinda,
tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu.
Bwana na akupe haja zako zote.

Copyright information for SwhKC