Psalms 98:2-3


2 a Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane
na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.

3 bAmeukumbuka upendo wake
na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli;
miisho yote ya dunia imeuona
wokovu wa Mungu wetu.

Copyright information for SwhKC