a
Isa 2:17
;
Yer 39:10
b
Mwa 18:8
;
Isa 14:30
Isaiah 7:21-22
21
a
Katika siku ile, mtu atahifadhi hai ndama mmoja na kondoo wawili.
22
b
Kwa ajili ya wingi wa maziwa watakayotoa, atapata jibini ya kula. Wote watakaobakia katika nchi watakula jibini na asali.
Copyright information for
SwhNEN