a
Za 69:22
,
23
;
35:8
b
Za 69:22
,
23
;
Rum 11:8
Romans 11:9-10
9
a
Naye Daudi anasema:
“Karamu zao na ziwe tanzi na mtego wa kuwanasa,
kitu cha kuwakwaza waanguke, na adhabu kwao.
10
b
Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,
nayo migongo yao iinamishwe daima.”
Copyright information for
SwhNEN