a
Yer 6:12
;
15:6
;
Mik 5:13
;
Sef 2:11
;
Hos 10:5
Zephaniah 1:4
Dhidi Ya Yuda
4
a
“Nitaiadhibu Yuda
na wote wakaao Yerusalemu.
Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali
kila mabaki ya Baali,
majina ya wapagani na makuhani
waabuduo sanamu:
Copyright information for
SwhNEN