Genesis 30:6
6
Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipa haki yangu, amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita Dani.
▼
▼
Dani maana yake Anahukumu, yaani Mungu amenipa haki yangu.
Copyright information for
SwhKC