Genesis 35:11
11Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mwenyezi Mungu, ▼▼ Mwenyezi Mungu hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).
ukazae na kuongezeka. Taifa na jamii ya mataifa itatoka kwako, nao wafalme watatoka viunoni mwako.
Copyright information for
SwhKC