John 1:19-20
19 aHuu ndio ushuhuda wa Yahya wakati Wayahudi walipowatuma makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu kumuuliza, “Wewe ni nani?” 20 bYahya alikiri waziwazi pasipo kuficha akasema, “Mimi si Al-Masihi.” ▼▼ Al-Masihi maana yake ni
Masiya , yaani
Aliyetiwa mafuta.
Copyright information for
SwhKC