Mark 15:32

32 aBasi huyu Al-Masihi,
Al-Masihi maana yake ni Masiya , yaani Aliyetiwa mafuta.
huyu Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale waliosulubiwa pamoja naye pia wakamtukana.

Kifo Cha Isa Msalabani

(Mathayo 27:45-56; Luka 23:44-49; Yohana 19:28-30)

Copyright information for SwhKC