Matthew 13:17
17 aAmin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.Maelezo Ya Mfano Wa Mbegu
(Marko 4:13-20; Luka 8:11-15)
Copyright information for
SwhKC