Proverbs 30:21-23


21 “Kwa mambo matatu nchi hutetemeka,
naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:

22 aMtumwa awapo mfalme,
mpumbavu ashibapo chakula,

23 mwanamke asiyependwa aolewapo,
naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.

Copyright information for SwhKC