Psalms 34:7-9


7 aMalaika wa Bwana hufanya kituo
akiwazunguka wale wamchao,
naye huwaokoa.


8 bOnjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,
heri mtu yule anayemkimbilia.

9 cMcheni Bwana enyi watakatifu wake,
kwa maana wale wamchao
hawapungukiwi na chochote.
Copyright information for SwhKC