a
Mdo 22:16
b
Efe 1:4
;
Kol 1:22
Ephesians 5:26-27
26
a
kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake,
27
b
apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na lisilo na hatia.
Copyright information for
SwhNEN