‏ Colossians 1:21-22

21 aHapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya. 22 bLakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Al-Masihi kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,
Copyright information for SwhKC