‏ Psalms 13:1-2

Sala Ya Kuomba Msaada

(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi)


1 a bMpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele?
Utanificha uso wako mpaka lini?

2 cNitapambana na mawazo yangu mpaka lini,
na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu?
Adui zangu watanishinda mpaka lini?

Copyright information for SwhKC