1 Samuel 13:22
22 aKwa hiyo siku ya vita hakuna askari yeyote aliyekuwa kambini na Sauli na Yonathani ambaye alikuwa na upanga wala mkuki mkononi mwake; Sauli tu na mwanawe Yonathani ndio waliokuwa navyo. Yonathani Awashambulia Wafilisti
Copyright information for
SwhKC