2 Samuel 8:8

8 aKutoka miji ya Beta
Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Kiaramu; pia uliitwa Tibhathi ( 1Nya 18:8 ).
na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.

Copyright information for SwhKC