Colossians 2:5

5 aKwa kuwa ingawa mimi siko pamoja nanyi kimwili, lakini niko pamoja nanyi kiroho, nami nafurahi kuuona utaratibu wenu na jinsi uthabiti wa imani yenu katika Al-Masihi ulivyo.

Ukamilifu Wa Maisha Katika Al-Masihi

Copyright information for SwhKC