Daniel 9:13

13

aKama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, misiba hii yote imekuja juu yetu, lakini hatujaomba fadhili kwa Bwana Mwenyezi Mungu wetu kwa kugeuka kutoka dhambi zetu na kuwa wasikivu katika kweli yake.

Copyright information for SwhKC