Deuteronomy 13:16

16 aKusanyeni nyara zote za mji katika uwanja wa wazi na kuuchoma mji kabisa pamoja na nyara zake zote kama sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana Mwenyezi Mungu wenu. Utabaki kuwa magofu milele na hautajengwa tena.
Copyright information for SwhKC