Deuteronomy 2:36

36 aKutoka Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kutoka mji ulio ndani ya bonde, hata mpaka Gileadi, hapakuwa na mji hata mmoja uliokuwa na nguvu kutushinda. Bwana Mwenyezi Mungu wetu alitupa yote.
Copyright information for SwhKC