Ephesians 5:20-22

20 asiku zote mkimshukuru Mungu Baba kwa kila jambo katika Jina la Bwana wetu Isa Al-Masihi.

21 bNyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Al-Masihi.

Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume

22 cNinyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana.
Copyright information for SwhKC