Genesis 29:35

35Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu Bwana.” Kwa hiyo akamwita Yuda.
Yuda maana yake Sifa, yaani Nitamsifu Yehova.
Kisha akaacha kuzaa watoto.
Copyright information for SwhKC