Habakkuk 1:14-15


14 Umewafanya watu kama samaki baharini,
kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.

15 aAdui mwovu anawavuta wote kwa ndoana,
anawakamata katika wavu wake,
anawakusanya katika juya lake;
kwa hiyo anashangilia na anafurahi.
Copyright information for SwhKC