Hebrews 1:11-12


11 aHizo zitatoweka, lakini wewe utadumu;
zote zitachakaa kama vazi.

12 bUtazikung’utakung’uta kama joho,
nazo zitachakaa kama vazi.
Lakini wewe hubadiliki,
nayo miaka yako haikomi kamwe.”

Copyright information for SwhKC