‏ Hebrews 10:5-7

5 aKwa hiyo, Al-Masihi alipokuja duniani, alisema: “Dhabihu na sadaka hukuzitaka,
bali mwili uliniandalia;

6 sadaka za kuteketezwa na za dhambi
hukupendezwa nazo.

7 bNdipo niliposema, ‘Mimi hapa, nimekuja,
imeandikwa kunihusu katika kitabu:
Nimekuja kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu.’ ”

Copyright information for SwhKC