Isaiah 54:7-8


7 a“Kwa kitambo kidogo nilikuacha,
lakini kwa huruma nyingi nitakurudisha.

8 bKatika ukali wa hasira
nilikuficha uso wangu kwa kitambo,
lakini kwa fadhili za milele
nitakuwa na huruma juu yako,”
asema Bwana Mkombozi wako.

Copyright information for SwhKC