Jeremiah 22:24
24 a“Hakika kama niishivyo,” asema Bwana, “hata kama wewe, Yekonia ▼▼ Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
mwana wa Yehoyakimu ▼▼ Yehoyakimu ni jina jingine la Yehoyakini.
mfalme wa Yuda, ungekuwa pete yangu ya muhuri katika mkono wangu wa kuume, bado ningekung’oa hapo.
Copyright information for
SwhKC