Job 11:7-9


7 a“Je, waweza kujua siri za Mungu?
Je, waweza kuyachunguza mambo yote kumhusu Mwenyezi?

8 bNi juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini?
Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu:
wewe waweza kujua nini?

9 cKipimo chake ni kirefu kuliko dunia,
nacho ni kipana kuliko bahari.

Copyright information for SwhKC