Luke 22:63-65

63 a bWatu waliokuwa wanamlinda Isa wakaanza kumdhihaki na kumpiga. 64Wakamfunga kitambaa machoni na kumuuliza, “Tabiri! Tuambie ni nani aliyekupiga?” 65 cWakaendelea kumtukana kwa matusi mengi.

Isa Apelekwa Mbele Ya Baraza

(Mathayo 26:59-66; Marko 14:55-64; Yohana 18:28-38)

Copyright information for SwhKC