a
Mt 5:39
;
1Kor 6:7
b
Kum 15:7-10
;
Mt 21:36
Luke 6:29-30
29
a
Kama mtu akikupiga shavu moja, mgeuzie na la pili pia. Mtu akikunyang’anya koti lako, usimzuie kuchukua joho pia.
30
b
Mpe kila akuombaye, na kama mtu akichukua mali yako usitake akurudishie.
Copyright information for
SwhKC