Mark 3:16-19

16 aHawa ndio wale kumi na wawili aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro); 17 bYakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye (ambao aliwaita Boanerge, maana yake Wana wa Ngurumo); 18Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo, 19na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Isa Na Beelzebuli

(Mathayo 12:22-32; Luka 11:14-23; 12:10)

Copyright information for SwhKC