Numbers 24:22-24


22 aHata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa
Ashuru atakapowachukua mateka.”

23Ndipo akatoa ujumbe wake: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?

24 bMeli zitakuja kutoka pwani za Kitimu,
zitaitiisha Ashuru na Eberi,
lakini nao pia wataangamizwa.”

Copyright information for SwhKC