Obadiah 5


5 a“Ikiwa wevi wangekuja kwako,
ikiwa wanyang’anyi wangekujia usiku:
Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:
je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?
Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,
je, wasingebakiza zabibu chache?
Copyright information for SwhKC