Proverbs 23:1-3

1Uketipo kula chakula na mtawala,
angalia vyema kile kilicho mbele yako,

2 na utie kisu kooni mwako
kama ukiwa mlafi.

3 aUsitamani vyakula vyake vitamu
kwa kuwa chakula hicho ni cha hila.

Copyright information for SwhKC