Proverbs 5:12-14


12 Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu!
Tazama jinsi moyo wangu ulivyodharau maonyo!

13 Sikuwatii walimu wangu
wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.

14 aNimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa
katikati ya kusanyiko lote.”

Copyright information for SwhKC