Psalms 104:6-9


6 aUliifunika kwa kilindi kama kwa vazi,
maji yalisimama juu ya milima.

7 bLakini kwa kukemea kwako maji yalikimbia,
kwa sauti ya radi yako yakatoroka,

8 cyakapanda milima, yakateremka mabondeni,
hadi mahali pale ulipoyakusudia.

9 dUliyawekea mpaka ambao hayawezi kuuvuka,
kamwe hayataifunika dunia tena.

Copyright information for SwhKC