Psalms 110:1

Bwana Na Mfalme Wake Mteule

(Zaburi Ya Daudi)


1 a Bwana amwambia Bwana wangu:
“Keti mkono wangu wa kuume,
mpaka nitakapowafanya adui zako
kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”

Copyright information for SwhKC