Psalms 111:1
Sifa Za Bwana Kwa Matendo Ya Ajabu
1 ▼
▼ Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
bMsifuni Bwana.Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote,
katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
Copyright information for
SwhKC