Psalms 125:1-2
Usalama Wa Watu Wa Mungu
(Wimbo Wa Kwenda Juu)
1 aWale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,
ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2 bKama milima inavyozunguka Yerusalemu,
ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake
sasa na hata milele.
Copyright information for
SwhKC