‏ Psalms 125:1-2

Usalama Wa Watu Wa Mungu

(Wimbo Wa Kwenda Juu)


1 aWale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,
ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.

2 bKama milima inavyozunguka Yerusalemu,
ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake
sasa na hata milele.

Copyright information for SwhKC