Psalms 128:2-3


2 aUtakula matunda ya kazi yako;
baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

3 bMke wako atakuwa kama mzabibu uzaao
ndani ya nyumba yako;
wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni
kuizunguka meza yako.
Copyright information for SwhKC