Psalms 13:1-2
Sala Ya Kuomba Msaada
(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi)
1 a bMpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele?
Utanificha uso wako mpaka lini?
2 cNitapambana na mawazo yangu mpaka lini,
na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu?
Adui zangu watanishinda mpaka lini?
Copyright information for
SwhKC