Psalms 150:3-5


3 aMsifuni kwa mvumo wa tarumbeta,
msifuni kwa kinubi na zeze,

4 bmsifuni kwa matari na kucheza,
msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,

5 cmsifuni kwa matoazi yaliayo,
msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

Copyright information for SwhKC