Psalms 2:2-3


2 a bWafalme wa dunia wanajipanga
na watawala wanajikusanya pamoja
dhidi ya Bwana
na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.

3 cWanasema, “Tuvunje minyororo yao
na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

Copyright information for SwhKC