Psalms 20:4-5


4 aNa akujalie haja ya moyo wako,
na aifanikishe mipango yako yote.

5 bTutashangilia kwa furaha utakaposhinda,
tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu.
Bwana na akupe haja zako zote.

Copyright information for SwhKC